Coat of Arms

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia

Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa

Kituo Cha Fursa

KSW Logo

Karibu Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa


Principal
Bi. Monica Ismail Lukeha Mkuu wa Chuo

Kipekee natoa salamu zangu za dhati kwa jumuiya ya Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa. Kama Mkuu wa Chuo kwa heshima kubwa nitaongoza na kushirikiana na menejimenti pamoja na watumishi wote kwa lengo la kukifanya Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa kuwa chuo kinachoongoza katika utoaji wa ujuzi kulingana na mahitaji ya jamii nchini na Afrika Mashariki. Ninatarajia umoja, ushirikiano pamoja na ubunifu kwa ajili ya kesho iliyo bora ya Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa.

Habari Mpya

Ona Habari zote

Mahafali ya kumi na Nane 2024-2025

Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa leo tarehe 21 Nov 2025 kimeadhimisha mahafali yake ya kumi na s...

November 21st, 2025
Kozi fupi- Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Aj...

Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira,vijana na Mahusioano kupitia Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa(FD...

November 5th, 2025
Mafunzo ya Muda Mfupi kupitia Mradi wa U...

CMW Bigwa kwa kushirikiana na Jumuiya ya Vyuo na Taasisi za Ufundi Kanada (CICan) kinatoa mafunzo ya...

August 5th, 2025

Matangazo


  1. Fomu ya Maombi ya Kozi za muda mfupi 2026 New

    Fomu hii ni kwaajili ya Mafunzo ya Ufundi kwa Miezi mitatu hadi sita

Nyaraka Mbalimbali

SHERIA ZA CHUO
MWONGOZO WA ULINZI NA USALAMA
MWONGOZO WA WAKUFUNZI - MAFUNZO YA USAWA WA KIJINSIA

Takwimu

8 Fani zinazotolewa
25 Watumishi
380+ Wanafunzi
10,000+ Wahitimu