Coat of Arms

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA

Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa

“ Kituo Cha Fursa ”

KSW Logo

Taarifa kutoka Ofisi ya Taaluma

Karibu Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa

Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa kipo Mkoa wa Morogoro, Manispaa ya Morogoro Mjini, umbali wa kilomita 8 kutoka katikati ya mji katika Kata ya Bigwa.

Chuo kinatoa mafunzo ya muda mrefu hadi miaka mitatu katika ngazi za NVA I, II na III pamoja na mafunzo ya muda mfupi katika fani mbalimbali zinazolenga kuwawezesha wahitimu kujiajiri na kuajirika.

Mafunzo ya Muda Mrefu

Mafunzo ya NVA Level I, II na III kwa muda wa hadi miaka mitatu.

Mafunzo ya Muda Mfupi

Mapishi na Lishe, Ushonaji, TEHAMA pamoja na Tailor Made Courses.

Programu ya Elimu Haina Mwisho (EHM)

Programu maalumu kwa wasichana waliokosa kuhitimu elimu ya sekondari katika mfumo rasmi kutokana na sababu mbalimbali.

Sifa za Kujiunga

Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 17 na kuendelea, mwenye uwezo wa kusoma na kuandika vizuri.

Programu za Mafunzo

Chagua kozi inayokufaa na uanze safari yako ya kupata ujuzi, maarifa na fursa za kujitegemea.

Design, Sewing And Cloth Technology
Clothing and Textile

Design, Sewing And Cloth Technology

long Course ⏱ 2 years
Electrical Installation
electrical

Electrical Installation

Kozi ndefu ⏱ Miaka 2
Food Production
Hospitality

Food Production

long Course ⏱ 2 years
Information and Communication Technology
commercial

Information and Communication Technology

Kozi ndefu ⏱ Miaka 2

Takwimu

8 Fani zinazotolewa
25 Watumishi
380+ Wanafunzi
10,000+ Wahitimu